Saturday, October 5, 2013

COMING SOON: bado natafuta

Moyo wangu ulikuwa mbali lakini uliendelea kutambua uwepo na thamani ya mapenzi yangu kwako. Moyo huu huu uliweza kugusa wa kwako wakati hauna kitu, Na moyo huu huu ndio umerudi tena kwa mara nyingine kukukumbusha mateso uliyapata, Na mateso uliyokuwa unasikia wakati uko mbali na mie
Moyo wangu umekubali kusamehe...

Naam, ni chini ya kampuni mahiri yenye kikosi cha watu wenye kujua nini mashabiki wanapenda, Jerusalem Films Company, hapa akiwepo mwanadada mahiri Shamsa Ford ambaye wala hatuhitajiki kueleza sifa zake maana kila mmoja  anazijua, pale kuna Gabo, Patcho Mwamba na wakali wengine kibao.

Ni katika BADO NATAFUTA. Unajua nini kinatafutwa? Tizama utangulizi wa picha hii hapa kisha ujiandae kwa uhondo uliokamili hivi karibuni

Tags: ,

0 Responses to “COMING SOON: bado natafuta”

Jisajili Kupata Habari Mpya

Ikiwa ungependa kupata taarifa zetu mara kwa mara, pindi tu zinapowekwa hapa, jisajili kwa kuandika anwani ya barua pepe hapa chini kisha fuata maelekezo

© 2013 Jerusalem Film Company. All rights reserved.
BlogTheme Edited by Rama Msangi