Friday, December 27, 2013

GLOBAL PUBLISHERS YATOA MSAADA WA AMBULANCE BUPANDWA MHELA MKOANI MWANZA


Gari la kubebea wagonjwa 'ambulance' lililotolewa na Kampuni ya Global Publishers Ltd kwa wananchi wa Buchosa.
Muonekano wa gari hilo kwa ndani.…
Gari la kubebea wagonjwa 'ambulance' lililotolewa na Kampuni ya Global Publishers Ltd kwa wananchi wa Buchosa.
Muonekano wa gari hilo kwa ndani.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers Ltd wachapishaji wa magazeti ya Championi, Risasi, Ijumaa, Amani, Uwazi na Ijumaa Wikienda, Eric Shigongo, jana alikabidhi gari la kubebea wagonjwa 'ambulance' kwa Diwani wa Kata ya Bupandwa Mhela, Masumbuko Francis, ikiwa ni msaada kwa wakazi wa Buchosa. Pichani juu ni taswira za makabidhiano hayo yaliyofanyika jana katika sikukuu ya Krismasi huko Bupandwa Mhela, mkoani Mwanza.
(PICHA: CHANDE ABDALLAH NA DENIS MTIMA / GPL, MWANZA)

Kutoka Jerusalem Film: Hongera sana Eric Shigongo na team nzima ya GPL mmefanya jambo jema sana.Mwenyezi Mungu awabariki na awazidishie pale mlipopunguza.

CHANZO: Global Publishers

Tags: , ,

0 Responses to “GLOBAL PUBLISHERS YATOA MSAADA WA AMBULANCE BUPANDWA MHELA MKOANI MWANZA”

Jisajili Kupata Habari Mpya

Ikiwa ungependa kupata taarifa zetu mara kwa mara, pindi tu zinapowekwa hapa, jisajili kwa kuandika anwani ya barua pepe hapa chini kisha fuata maelekezo

© 2013 Jerusalem Film Company. All rights reserved.
BlogTheme Edited by Rama Msangi