Wednesday, March 26, 2014

KUELEKEA MIAKA MITATU YA BONGO MOVIE UNIT...

Tar 28/3/2014 Bongo Movie Unit inatarajiwa kutimiza miaka mitatu tangu kuanzishwa. Windhoek Draught wakiwa ndio wadhamini kwa siku yetu hiyo walituwezesha kupeleka mahitaji mbalimbali kwenye wodi ya kinamama na watoto ya hospitali ya Mwananyamala.Ikumbukwe kuwa kinamama na watoto ndio wateja wakubwa wa filamu zetu.

Angalia picha za yaliyojiri leo kwenye tukio hilo...wasanii wengi walijitokeza kufanikisha zoezi hilo...

Tags: , ,

0 Responses to “KUELEKEA MIAKA MITATU YA BONGO MOVIE UNIT...”

Jisajili Kupata Habari Mpya

Ikiwa ungependa kupata taarifa zetu mara kwa mara, pindi tu zinapowekwa hapa, jisajili kwa kuandika anwani ya barua pepe hapa chini kisha fuata maelekezo

© 2013 Jerusalem Film Company. All rights reserved.
BlogTheme Edited by Rama Msangi